Clairo
Mandhari

Claire Elizabeth Cottrill (alizaliwa 18 Agosti, 1998), anayejulikana kitaaluma kama Clairo ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo wa Marekani. Alianza kuweka muziki mtandaoni akiwa na umri wa miaka 13.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Coscarelli, Joe (Mei 23, 2018). "Clairo's 'Pretty Girl' Went Viral. Then She Had to Prove Herself". The New York Times (kwa American English). ISSN 0362-4331. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo Septemba 3, 2021. Iliwekwa mnamo Machi 6, 2022.
{{cite news}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
![]() |
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Clairo kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |