Jump to content

Draft:Deejaysosy

From Wikipedia, the free encyclopedia


Deejaysosy Anaitwa Sospeter Anthony Nkwaje (Maarufu kama Deejaysosy) alizaliwa Katika Hospitali Ya Bugando Mkoani Mwanza Tarehe 08 mwezi wa 03 Mwaka 1991 Alianza Shule ya msingi Isenga iliyopo jiji la mwanza mwaka 1999 na kuhitimu elimu ya shule ya msingi mwaka 2005 na baadae hakufanikiwa kuendelea na elimu ya msingi na kurudia shule ya msingi tena mwaka 2006 katika shule ya msingi Bwiru na kuhitimu kwa mara ya pili mnamo mwaka 2007 na kufanikiwa kufaulu na kuingia kidato cha kwanza mwaka 2008 na kuhitimu kidato cha nne mnamo mwaka 2011 katika shule ya sekondari Mnarani iliyopo Bwiru Jijini mwanza

                                    WASIFU

Alianza shughuli yake ya kupiga mziki mwaka 2012 katika mitaa mbalimbali ya jiji la mwanza na kuamua kwenda kwenye chuo Cha Madj kilichokuwa mwanza Pasiansi (Simba scratch dj) kilichokuwa kikimilikiwa na dj Simba wa kituo cha matangazo cha RFA Mwanza Baada ya hapo alifungua blogu ya kusapoti wasanii wa nje na ndani ya Mwanza na duniani kote mnamo mwaka 2015 na kuwa maarufu nchini Tanzania Na blogu yake ilijulikana kwa jina la Deejaysosy.com na kuweza kuwa maarufu zaidi kwa mkoa mzima wa mwanza na tanzania kwa ujumla.

References

[edit]