Johan Slager
Mandhari
Johan Slager (8 Juni 1946 – Januari 2025) alikuwa mchezaji muziki kutoka Uholanzi, maarufu kama mpigaji gitaa wa awali wa bendi ya rock ya Kayak. Alizaliwa jijini Amsterdam.[1][2]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Collins, Paul. [Johan Slager katika Allmusic "Biography: Kayak"]. AllMusic. Iliwekwa mnamo 31 Julai 2010.
{{cite web}}
: Check|url=
value (help)CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "Kayak oprichter Johan Slager overleden". .: Maxazine :. (kwa Kiholanzi). 2025-01-22. Iliwekwa mnamo 2025-01-23.
![]() |
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Johan Slager kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |